Wednesday, August 15, 2012

EXTREME BASH

Pro 24 wanawatangazia wapenzi wao walabata  kuwa siku ya j pili ya tarehe 26-08-2012 ndani ya bils  kutakuwa na show ya extreme bash
Kwa kiingilio cha sh.10,000 za kitanzania juanzia saa 03-usiku till late performer kutoka kenya ni
MARYA & AVRIL toka bongo pia kutakuwa na wasanii kibaooo
Karibuni sana bila kusahahu wazee wa fullbata.com watakuwepo pia kusuport ili mambo yawe sawa

No comments:

Post a Comment